bubujikwa chozi
jamii yetu imekua na mattatizo mengi nijukumu letu ku weza kujisaidia sisi wenyewe wa najamii.tunaona vijana watoto akina mama wa nasumbuka huku na kule hawana msaada wowote. hivyo nivvyema tuka jionea ewnyewe n naku weza kujisaidia.karibu sana mwana jamii tushiriki katika blogu hii,yenye habari, hadithi kemkem za kufarahisha na kusikitisha zinazo weza kukububujisha machozi.habari za manufaa katika jamii kibiashara kisayansi kitamaduni hata kimichezo.
Monday, September 27, 2010
ugonjwa wa wamkimbiza mke.
jaribu tu mafanikio
Sunday, September 12, 2010
masikitiko
wiki hii sikukuu ya iddi elfitr tumekuwa na habari za majonzi ndani jiji la dar es salaam haswa wilaya yatemeke,hali hii inasikitisha haswa kwa wafiwa ,watoto wawili ktk siku ya idd elftr wamefarikh wengine ni majeruhi wamelazwa hospitali,hali hii haipendezi kwani inatukumbusha tukio lilotokea mkoani tabora takriban miaka miwili ili yopita zaidi ya watoto kumi walifariki kwenye kumbi za disco zijulikanazo muungano mesi manispaa ya tabora.nahili nitukio jingine lalufa watoto wetu kwenye kumbi ya disco wilaya yatemeke halii itakoma lini ?umakini unahitajika haswa wandaaji wakumbi hizo na wamiliki muda uangaliwe haswa kwa watoto chini ya miaka kumina minne.waweze kutolewa mapema ikiwezekana saa kumi nambili nanusu wawe wanatoka ukumbini hii ingali itasaidia inshalaah mungu yupo
masikitiko
wiki hii sikukuu ya iddi elfitr tumekuwa na habari za majonzi ndani jiji la dar es salaam haswa wilaya yatemeke,hali hii inasikitisha haswa kwa wafiwa ,watoto wawili ktk siku ya idd elftr wamefarikh wengine ni majeruhi wamelazwa hospitali,hali hii haipendezi kwani inatukumbusha tukio lilotokea mkoani tabora takriban miaka miwili ili yopita zaidi ya watoto kumi walifariki kwenye kumbi za disco zijulikanazo muungano mesi manispaa ya tabora.nahili nitukio jingine lalufa watoto wetu kwenye kumbi ya disco wilaya yatemeke halii itakoma lini ?umakini unahitajika haswa wandaaji wakumbi hizo na wamiliki muda uangaliwe haswa kwa watoto chini ya miaka kumina minne.waweze kutolewa mapema ikiwezekana saa kumi nambili nanusu wawe wanatoka ukumbini hii ingali itasaidia inshalaah mungu yupo
Friday, September 3, 2010
hasara
teknolojia hii ya simu za mikono(mobile phone)imekuwa nahasara kubwa na imekuwa ikileta matatizo katika jamii,kila kukicha tumekuwa tukisikia wanachi wakiporwa simu za gharama ya juu na ya chini,imeleta majonzi katika familia,misiba.mammmma
mafanikio
mafanikio ya kiteknologia ya mawasiliano yamefikia mahala pakushindwa kusemeka ni maendeleo yaharaka kulikoilvyotazamiwa.nikipindi kifupi tangu kugunduliwa simu ya mikone (mobile phone).
Thursday, September 2, 2010
Subscribe to:
Posts (Atom)